Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Abbas Araghchi, amekutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Kazakhstan, Yermek Kosherbayev, ambapo viongozi hao wamejadili kuimarisha ushirikiano wa kidiplomasia na kiuchumi kati ya nchi hizo mbili.
