Spika wa Bunge la Ushauri la Kiislamu la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema baada ya kuthibitishwa kuuawa shahidi kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, viongozi wa nchi waliratibu namna ya kutangaza taarifa hiyo na kuwahamasisha wananchi kudumisha umoja.
