Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Kazem Gharibabadi, amekosoa madai ya Marekani kwamba Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC) imekumbwa na ufisadi, akisema mahakama hiyo inaitwa “fisadi” kwa sababu tu imethubutu kumchunguza mhalifu anayeungwa mkono na Washington.
