Msemaji wa Jeshi la Iran, Brigedia Jenerali Mohammad Akrami Nia, amesema uchunguzi unaendelea kubaini hatima ya marubani watatu wa ndege za kivita aina ya Su-24 zilizoshiriki katika shambulio dhidi ya kambi ya Marekani ya Al Udeid, huku upande wa Qatar ukisema bado hauna taarifa kuhusu hali yao.
