Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kubadilika kwa kauli za Donald Trump kuelekea lugha ya amani kunatokana na kutambua hali halisi ya uwanja na uwezo wa Iran wa kuzuia vitisho vya kijeshi katika eneo hilo.

Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema kubadilika kwa kauli za Donald Trump kuelekea lugha ya amani kunatokana na kutambua hali halisi ya uwanja na uwezo wa Iran wa kuzuia vitisho vya kijeshi katika eneo hilo.